
HOFU
- Onesmo Frank
- May 13, 2020
- 1 min read
JE, NI AINA GANI YA HOFU IMEKUWA IKIKUZUIA KUPIGA HATUA?
1. Hofu wa kupata hasara
2. Hofu ya kupoteza marafiki
3. Hofu ya kuchekwa
4. Hofu ya kudharaulika
5. Hofu ya kukosa vigezo
6. Hofu ya kuwa na elimu ndogo
7. Hofu ya kuwa peke yako
8. Hofu ya kutokuwa sahihi
9. Hofu ya kuchukua muda mrefu kuona matokeo
10. Hofu ya ugonjwa
11. Hofu ya kushindwa kuhudumia familia
12. Hofu ya kudhulumiwa
13. Hofu ya kutapeliwa
14. Hofu ya kufanya kitu usichokipenda
15. Hofu ya kurudia alichokifanya mtu fulani
16. Hofu ya kuishiwa au kufilisika
17. Hofu ya kupoteza muda
18. Hofu ya kutokupata faida
19. Hofu ya kutokuthubutu
20. Hofu ya kushindwa
21. Hofu ya kuchelewa kuanzisha familia
22.hofu ya kukosa sapoti
23. Hofu ya kupoteza heshima.
24.Hofu ya kutengwa na ndugu jamaa na marafiki
25.Hofu ya kutopata mtoto
26. Hofu ya Kurogwa/uchawi
27.hofu ya kuachika ktk ndoa
28.hofu ya kupoteza watoto
29. Hofu ya kudhurika kiafya
30. Hofu ya kupoteza maisha.
31.hofu ya kuibiwa
32. Hofu ya kupoteza kazi
33. Hofu ya kuongeza maadui
34. Hofu ya kuonekana hauwezi
35. Hofu ya umri mkubwa
36. Hofu ya kuwa na mwili mkubwa
37. Hofu ya kubadili/ kuacha kazi
38. Hofu ya kubadili biashara
39. Hofu ya kuanzisha kitu ambacho hakijazoeleka/cha tofauti
40. Hofu ya kuthubutu
41. hofu ya kukosa
42. hofu ya maumivu
43.hofu ya kuugua
44.hofu ya kujitegemea
Tafadhali endeleza.......
Onesmo Mushi
https://onesmofrenk.wixsite.com/website
https://www.facebook.com/PIGANIANDOTOYAKO
Comments