HAKUNA MAAMUZI MADOGO KWENYE MAISHA
Kuna kijana mmoja anaitwa Dominic alikopa fedha bank kiasi cha shilingi milion 15 ili aweze kufungua biashara. Dominic alikuwa...
Kuna kijana mmoja anaitwa Dominic alikopa fedha bank kiasi cha shilingi milion 15 ili aweze kufungua biashara. Dominic alikuwa...
JE KUNA BAHATI KATIKA MAISHA? Oprah Winfrey aliwahi kusema, hakuna bahati kwenye maisha wala hakuna anayefanikiwa kwa kubahatisha....
KITUMIE KIDOGO ULICHONACHO; MUNGU ATAKUONGEZEA MBELE YA SAFARI Wengi wetu huwa tunazidiwa na hofu na kuogopa kuanza kutembea kuelekea...
KAMA UNAVYOTAFUTA HEWA Kuna bwana mdogo mmoja alikuwa anatamani sana kufanikiwa katika maisha yake ila hakujua apambane kiasi gani. Siku...
WIKI IJAYO TUNAENDA DAR 💃🏿💃🏿. Naamini wengi mliokulia kijijini mtakubaliana na mimi katika hili. Mwaka 2000 baada ya shule kufungwa...
Kesho itakuwaje? Kwa mama aliye mjamzito sasa, miaka kumi ijayo mtoto atakuwa darasa la tano. Mwenye Miaka 40 sasa hivi atakuwa tayari...
NI IPI SABABU YAKO YA KUPAMBANA? Nilikuwa nasoma kitabu kimoja leo nikakutana mstari mmoja mzuri sana. Ulisomeka hivi, “mtu mwenye sababu...
Je tupo tayari kulipa gharama?? Tajiri mmoja nchini marekani aliulizwa, Je ni mbinu gani unatumia kupata mafanikio? Tajiri alijibu,...
Kama ukifa leo, ni ndoto gani zitakufa na wewe? Ni matamanio gani makubwa ambayo yangeweza kuibadilisha jamii yetu lakini uliogopa...
JIANDAE KWA SAFARI Mwezi wa Tisa Mwaka 2015, nilipokea ujumbe kutoka ubalozi wa Marekani ukinijuza nimechaguliwa kushiriki kwenye program...
KABLA HAUJAANZA SAFARI, JIULIZE KWANZA “NINATAKA KWENDA WAPI?” Siku za karibuni nilikutana na rafiki yangu mmoja hivi aliyekuwa anahitaji...
JE, NI AINA GANI YA HOFU IMEKUWA IKIKUZUIA KUPIGA HATUA? 1. Hofu wa kupata hasara 2. Hofu ya kupoteza marafiki 3. Hofu ya kuchekwa 4....
TAFUTA CHACHU; TAFUTA HAMASA Huwa napenda kufuatilia interview za watu tofauti tofauti maarufu wakielezea mafanikio yao. Siku moja...
Siku moja rafiki yangu John alikuwa anasafiri na gari ya rafiki yake kutoka Tanga kuelekea Mafinga. John alichukua gari kwa jamaa usiku...
NI JUKUMU LETU SOTE Siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma historia ya mtume Muhammad, pamoja na biblia mara kwa mara. Japo kuna mengi...
KILA UNALOLIFANYA LINA MCHANGO KWENYE NDOTO ZAKO! Kuna fundi ujenzi mmoja aliyekuwa ameitumikia kampuni yake kwa miaka mingi sana. Baada...
USIMWAMBIE MTU NDOTO YAKO Nikisema hivi huwa nakumbuka sana hadithi ya Joseph katika biblia. Akiwa kati ya watoto kumi na mbili wa mzee...
Japo nimekuja kumfahamu kipindi cha mwisho mwisho wa imahiri wake, Mimi nilikuwa mmoja kati ya mashabiki wakubwa sana wa Mike Tyson....
CHOMA HILO DARAJA; IPIGANIE NDOTO YAKO Tafiti zinaonesha kuwa wengi wetu tunashindwa kuzipigania ndoto zetu kwasababu tunaishi kwa hofu....
AMINI KATIKA UNACHOKIFANYA; KIONGEZEE THAMANI Kwa wengi wetu tumekuzwa na fikra kwamba ili uweze kufanikiwa, basi unalazimika kufanya...